Thursday, January 19, 2012

UGENI MZITO KUTOKA BARAZA LA SANAA TANZANIA (BASATA), UMETEMBELEA OFISI ZA TFTC.

 Wa kwanza kushoto mwenye shati la buluu ni Mh. Angelo Luhara,mkurugenzi idara ya ukuzaji sanaa BASATA,Anaefuatia ni mkurugenzi wa Taasisi ya TFTC Mh.Emmanuel Myamba,anaefuatia mwenye fulana nyeupe ni Afisa mtendaji wa BASATA,Mh Malimi Mashiri na wamwisho mkono wa kulia ni Mratibu na afisa utawala wa taasisi ya TFTC, Mh. Wilson Makubi.






No comments:

Post a Comment